Thursday, August 4, 2011

OMARY NA DJ RICH WA STOCKHOLM WAFIWA NA BABA YAO MZAZI.

OMARY MSUO.
Kwa habari tulizozipata hivi punde kutoka kwa katibu wa kamati ya muda iliyopewa dhamana ya kuunda Chama rasmi cha watanzania waishio Sweden TASWE,Ndugu Adrey Yustace,,ni Kwamba Ndugu yetu Omary Msuo na mdogo wake Dj Rich wamefiwa na baba yao Mzazi.,Omary amefanikiwa kuwahi mazishi na kisomo kinatarajiwa kufanyika pindi atakaporudi,Watanzania tulioko Sweden tuungane kwa pamoja kuwafariji ndugu zetu hawa waliopo kwenye kipindi hiki kigumu.,Habari zaidi Zitawajia pindi tutakapozipata kutoka kwa wafiwa..MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEPONI,,AMEN.

No comments:

Post a Comment